NAFASI ZA KAZI – WAHUDUMU WA MADUKA
Mwajiri: GLATO COMPANY LIMITED
Nafasi: Wahudumu wa Maduka
Idadi ya Nafasi: 27
Jinsia: Wanawake pekee
Umri: Miaka 18–30
Elimu: Kuanzia Kidato cha Nne (Form Four)
Mshahara: TSh 500,000/= kwa mwezi
Maeneo ya Kazi: Mlimani City & Restaurant Posta
Njia ya Maombi: WhatsApp pekee
Read Also:
- NEW TANZANIAN JOBS, INTERNSHIPS AND VOLUNTEERING OPPORTUNITIES 2026 (1,475 POSTS)
- CHECK SCHOLARSHIPS OPPORTUNITIES TO STUDY ABROAD CLICK HERE!
- Download Your National ID (NIDA) Number Here | DowBnload NAMBA NA KITAMBULISHO CHAKO CHA NIDA. BONYEZA HAPA!
- PAST PAPERS ZA DARASA LA 7 MPAKA FORM SIX | NECTA AND MOCK EXAMS 1988 – 2019. CLICK HERE!
- Free CV Writing and Download, Cover/Job Application Letters, Interview Questions and It’s Best Answers plus Examples. Click Here!
Sifa za Mwombaji
Mwombaji anatakiwa:
- Awe mwanamke mwenye umri wa miaka 18–30.
- Awe na elimu ya kuanzia Kidato cha Nne (Form Four).
- Awe mwenye nidhamu, uaminifu na kujituma kazini.
- Awe na uwezo mzuri wa kuwasiliana na wateja.
- Awe mchangamfu, msafi na mwenye muonekano mzuri.
- Awe tayari kufanya kazi kwa muda unaohitajika.
- Awe na uwezo wa kufanya kazi kwa ushirikiano na timu.
- Uzoefu wa kazi katika huduma kwa wateja, madukani au restaurant utakuwa faida.
Jinsi ya Kutuma Maombi
Waombaji wanaotimiza sifa wanatakiwa kutuma maombi yao kupitia WhatsApp pekee kwa namba:
+255 747 065 803
⚠️ Nafasi ni 27 tu. Tuma maombi yako mapema!
Go to our Homepage To Get Relevant Information. ajira mpya tanzania 2026, jobs tanzania 2026, ajira za kuuza maduka

Leave a Reply